Font Size
Yohana 11:24-25
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 11:24-25
Neno: Bibilia Takatifu
24 Martha akamjibu, “Ndio, ninajua ya kuwa atakuwa hai tena wakati wa ufufuo, siku ya mwisho.” 25 Yesu akamwambia, “Mimi ndiye ufufuo na uzima; mtu akiniamini mimi, hata akifa ataishi;
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica