24 Martha akamjibu, “Ndio, ninajua ya kuwa atakuwa hai tena wakati wa ufufuo, siku ya mwisho.” 25 Yesu akamwambia, “Mimi ndiye ufufuo na uzima; mtu akiniamini mimi, hata akifa ataishi;

Read full chapter

24 Martha akajibu, “Ninajua kuwa atafufuka tena wakati wa ufufuo siku ya mwisho.”

25 Yesu akamwambia, “Mimi ndiye huo ufufuo. Mimi ndiye uzima. Kila anayeniamini atakuwa na uzima, hata kama atakufa.

Read full chapter

24 Martha answered, “I know he will rise again in the resurrection(A) at the last day.”(B)

25 Jesus said to her, “I am(C) the resurrection and the life.(D) The one who believes(E) in me will live, even though they die;

Read full chapter