Font Size
Yohana 11:24-25
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 11:24-25
Neno: Bibilia Takatifu
24 Martha akamjibu, “Ndio, ninajua ya kuwa atakuwa hai tena wakati wa ufufuo, siku ya mwisho.” 25 Yesu akamwambia, “Mimi ndiye ufufuo na uzima; mtu akiniamini mimi, hata akifa ataishi;
Read full chapter
Yohana 11:24-25
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 11:24-25
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
24 Martha akajibu, “Ninajua kuwa atafufuka tena wakati wa ufufuo siku ya mwisho.”
25 Yesu akamwambia, “Mimi ndiye huo ufufuo. Mimi ndiye uzima. Kila anayeniamini atakuwa na uzima, hata kama atakufa.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International