Add parallel Print Page Options

23 Ndipo yakatimizwa yale yaliyo kwenye Maandiko kuwa, “Ibrahimu alimwamini Mungu, na kwa imani hiyo akafanywa kuwa mwenye haki[a] kwa Mungu,”(A) na kwa sababu hiyo akaitwa “Rafiki wa Mungu”.(B)

Read full chapter

Footnotes

  1. 2:23 akafanywa kuwa mwenye haki Ama alithibitishwa kuwa mwenye haki kama vile tafsiri zingine za walimu wa Biblia wangependa kutumia.