Font Size
Yakobo 5:7
Neno: Bibilia Takatifu
Yakobo 5:7
Neno: Bibilia Takatifu
Subira Na Mateso
7 Kwa hiyo, ndugu zangu, muwe na subira mpaka Bwana atakapo kuja. Angalieni jinsi mkulima anavyongojea ardhi itoe mavuno mazuri, jinsi anavyongojea kwa subira mvua za mwanzo na za mwisho.
Read full chapter
Yakobo 5:7
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yakobo 5:7
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Uwe Mstahimilivu
7 Hivyo kina kaka na kina dada, muwe na subira; hadi kuja kwa mara ya pili kwa Bwana. Kumbukeni kuwa mkulima huyasubiria mazao yake yenye thamani yakue ardhini. Huyangoja kwa subira mpaka yapate mvua za masika na za vuli.[a]
Read full chapterFootnotes
- 5:7 mvua za masika na za vuli “Mvua za masika” zilinyesha mwanzoni na “mvua za vuli” zilinyesha mwishoni.
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International