Font Size
Yakobo 2:23
Neno: Bibilia Takatifu
Yakobo 2:23
Neno: Bibilia Takatifu
23 Kwa njia hiyo yaka timizwa yale Maandiko yasemayo, “Abrahamu alimwamini Mungu, na kwa imani yake akahesabiwa kuwa mtu mwenye haki”; naye akaitwa rafiki wa Mungu.
Read full chapter
Yakobo 2:23
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yakobo 2:23
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
23 Ndipo yakatimizwa yale yaliyo kwenye Maandiko kuwa, “Ibrahimu alimwamini Mungu, na kwa imani hiyo akafanywa kuwa mwenye haki[a] kwa Mungu,”(A) na kwa sababu hiyo akaitwa “Rafiki wa Mungu”.(B)
Read full chapterFootnotes
- 2:23 akafanywa kuwa mwenye haki Ama alithibitishwa kuwa mwenye haki kama vile tafsiri zingine za walimu wa Biblia wangependa kutumia.
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International