23 Kwa njia hiyo yaka timizwa yale Maandiko yasemayo, “Abrahamu alimwamini Mungu, na kwa imani yake akahesabiwa kuwa mtu mwenye haki”; naye akaitwa rafiki wa Mungu.

Read full chapter

23 Ndipo yakatimizwa yale yaliyo kwenye Maandiko kuwa, “Ibrahimu alimwamini Mungu, na kwa imani hiyo akafanywa kuwa mwenye haki[a] kwa Mungu,”(A) na kwa sababu hiyo akaitwa “Rafiki wa Mungu”.(B)

Read full chapter

Footnotes

  1. 2:23 akafanywa kuwa mwenye haki Ama alithibitishwa kuwa mwenye haki kama vile tafsiri zingine za walimu wa Biblia wangependa kutumia.