Font Size
Waebrania 2:14
Neno: Bibilia Takatifu
Waebrania 2:14
Neno: Bibilia Takatifu
Mungu.”
14 Basi, kwa kuwa watoto hao wana mwili na damu, yeye pia alishiriki katika ubinadamu wao, ili kwa kufa kwake apate kumwan gamiza yule mwenye mamlaka juu ya kifo, yaani shetani;
Read full chapter
Waebrania 2:14
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Waebrania 2:14
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
14 Watoto hawa ni watu walio na miili ya damu na nyama. Hivyo Yesu mwenyewe akawa kama wao na akapata uzoefu ule ule waliokuwa nao. Yesu alifanya hivi ili, kwa kufa kwake, aweze kumharibu yeye aliye na nguvu ya mauti, Ibilisi.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International