Font Size
Wagalatia 3:23-25
Neno: Bibilia Takatifu
Wagalatia 3:23-25
Neno: Bibilia Takatifu
23 Kabla imani haijakuwepo tulikuwa tumefungwa chini ya sheria, mpaka imani ifunuliwe. 24 Kwa hiyo, sheria ilikuwa kama kiongozi wa kutufikisha kwa Kristo, ili tuhesabiwe haki kwa imani. 25 Lakini sasa kwa kuwa imani imekuja hatusimamiwi tena na sheria.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica