Font Size
Waefeso 5:31-32
Neno: Bibilia Takatifu
Waefeso 5:31-32
Neno: Bibilia Takatifu
31 “Kwa sababu hii, mwanaume atamwacha baba yake na mama yake, naye ataungana na mkewe, na hawa wawili wata kuwa mwili mmoja.” 32 Hili ni fumbo gumu kueleweka, nami nasema kuwa ni kielelezo kuhusu Kristo na kanisa.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica