Font Size
Waefeso 2:12
Neno: Bibilia Takatifu
Waefeso 2:12
Neno: Bibilia Takatifu
12 kumbukeni kwamba wakati ule ninyi mlikuwa mmetengwa na Kristo, mkiwa mmefarakana na jumuia ya Israeli na mkiwa wageni kuhusu yale maagano ya ahadi. Mlikuwa hamna matumaini wala Mungu duniani.
Read full chapter
Waefeso 2:12
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Waefeso 2:12
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
12 Kumbukeni ya kwamba zamani hamkuwa na Kristo. Hamkuwa raia wa Israeli na hamkujua kuhusu mapatano ya maagano[a] ambayo Mungu aliyaweka kwa watu wake. Hamkuwa na tumaini na hamkumjua Mungu.
Read full chapterFootnotes
- 2:12 maagano Maagano au ahadi maalum ambazo Mungu alizitoa nyakati tofauti kwa watu katika Agano la Kale. Tazama Agano (Makubaliano) katika Orodha ya Maneno.
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International