Font Size
Matendo Ya Mitume 9:17-19
Neno: Bibilia Takatifu
Matendo Ya Mitume 9:17-19
Neno: Bibilia Takatifu
17 Anania akaenda, akaingia mle nyumbani. Akaweka mikono yake juu ya Sauli akasema, “Ndugu yangu Sauli, Bwana Yesu aliyekutokea njiani ame nituma kwako ili upate kuona tena na ujazwe Roho Mtakatifu.” 18 Mara vitu kama magamba vikaanguka kutoka machoni mwa Sauli, akapata kuona tena. Akasimama, akabatizwa. 19 Kisha akala chak ula, akapata nguvu tena. Alikaa siku kadhaa pamoja na wanafunzi huko Dameski na
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica