Font Size
Matendo Ya Mitume 7:59-60
Neno: Bibilia Takatifu
Matendo Ya Mitume 7:59-60
Neno: Bibilia Takatifu
59 Walipokuwa wakimpiga mawe, Stefano aliomba, Bwana Yesu, pokea roho yangu!” 60 Akapiga magoti akalia kwa sauti kubwa akasema, “Bwana usiwahesabie dhambi hii.” Baada ya kusema haya, akafa.
Read full chapter
Matendo 7:59-60
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Matendo 7:59-60
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
59 Walipokuwa wanampiga kwa mawe, Stefano aliomba, akisema, “Bwana Yesu, pokea roho yangu.” 60 Alianguka kwa magoti yake na kupaza sauti, akasema, “Bwana usiwahesabie dhambi hii!” Haya yalikuwa maneno yake ya mwisho kabla ya kufa.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International