Font Size
Matendo Ya Mitume 7:4
Neno: Bibilia Takatifu
Matendo Ya Mitume 7:4
Neno: Bibilia Takatifu
4 Ndipo alipotoka katika nchi ya Wakal dayo akaenda kukaa Harani. Baba yake alipokufa, Mungu akamtoa huko akamweka katika nchi hii ambayo mnaishi sasa.
Read full chapter
Matendo 7:4
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Matendo 7:4
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
4 Hivyo Ibrahimu akaondoka katika nchi ya Ukaldayo[a] na kwenda kuishi Harani. Baada ya baba yake kufa, Mungu akamleta katika nchi hii, mahali mnapoishi sasa.
Read full chapterFootnotes
- 7:4 Ukaldayo Au “Babeli”, nchi iliyo kusini mwa Mesopotamia. Tazama mstari wa 2.
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International