Font Size
Matendo Ya Mitume 3:14-15
Neno: Bibilia Takatifu
Matendo Ya Mitume 3:14-15
Neno: Bibilia Takatifu
14 Ninyi mlimkataa aliyekuwa Mtakatifu na Mwenye Haki mkaomba mpewe yule muuaji. 15 Hivyo mkamwua aliye chanzo cha Uzima, ambaye Mungu alimfufua kutoka kwa wafu. Sisi ni mashahidi wa mambo haya.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica