Tamaño de la fuente
Matendo Ya Mitume 2:31-32
Neno: Bibilia Takatifu
Matendo Ya Mitume 2:31-32
Neno: Bibilia Takatifu
31 Kwa hiyo Daudi akaona mambo ambayo yangetokea, akatamka juu ya kufufuka kwa Kristo, kwamba asingeachwa kuzimu, wala mwili wake usingehar ibiwa kwa kuoza. 32 Huyu Yesu, Mungu alimfufua, na sisi ni mash ahidi wa tukio hilo.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica