Font Size
Matendo Ya Mitume 23:32-35
Neno: Bibilia Takatifu
Matendo Ya Mitume 23:32-35
Neno: Bibilia Takatifu
32 Kesho yake wakarudi kituoni wakawaacha wale askari wa mikuki waendelee na safari pamoja na Paulo. 33 Walipofika Kaisaria walimpa Liwali ile barua na pia wakamkabidhi Paulo kwake. 34 Alipokwisha soma ile barua, alimwuliza Paulo ametoka jimbo gani. Alipofahamishwa kuwa anatoka Kilikia 35 alisema, “Nitasikiliza kesi yako mara tu washtaki wako watakapofika.” Akaamuru Paulo awekwe chini ya ulinzi katika ikulu ya Herode.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica