Font Size
Yohana 18:39-40
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 18:39-40
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
39 Lakini ni moja ya desturi zenu kwangu mimi kuwafungulia mfungwa mmoja wakati wa Pasaka. Je, mnataka niwafungulie huyu ‘Mfalme wa Wayahudi’?”
40 Wakajibu kwa kupiga kelele wakisema, “Hapana, siyo yeye! Mwache huru Baraba!” (Baraba alikuwa jambazi.)
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International