Font Size
Yohana 18:39-40
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 18:39-40
Neno: Bibilia Takatifu
39 Lakini kuna desturi yenu kwamba wakati wa Pasaka nimwachilie huru mfungwa mmoja mnayemtaka. Je, mngependa nimwachilie huru huyu ‘Mfalme wa Wayahudi?” ’ 40 Wao wakapiga kelele wakisema, “Hapana, usimwachilie huyo. Tufungulie Bar aba!” Baraba alikuwa mnyang’anyi.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica