Font Size
Yohana 11:45-47
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 11:45-47
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mpango wa Kumwua Yesu
(Mt 26:1-5; Mk 14:1-2; Lk 22:1-2)
45 Walikuwepo Wayahudi wengi waliokuja kumtembelea Mariamu. Hawa walipoona aliyotenda Yesu, wengi wao wakamwamini. 46 Lakini baadhi yao wakaenda kwa Mafarisayo na kuwapa habari ya mambo aliyofanya Yesu. 47 Kisha viongozi wa makuhani na Mafarisayo wakaitisha kikao cha baraza kuu. Wakasema, “Tutafanyaje? Mtu huyu anafanya ishara nyingi sana.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International