Font Size
Yohana 1:17-19
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 1:17-19
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
17 Hiyo ni kusema kuwa,
sheria ililetwa kwetu kupitia Musa.
Lakini neema na kweli imekuja
kupitia Yesu Kristo.
18 Hakuna aliyewahi kumwona Mungu
isipokuwa Mwana peke yake,
ambaye yeye mwenyewe ni Mungu,
ametuonesha jinsi Mungu alivyo.
Yuko karibu sana na Baba
kiasi kwamba tunapomwona,
tumemwona Mungu.
Yohana Azungumza Juu ya Kristo
(Mt 3:1-12; Mk 1:1-8; Lk 3:1-9,15-17)
19 Viongozi wa Kiyahudi kule Yerusalemu walituma baadhi ya makuhani na Walawi kwa Yohana kumwuliza, “Wewe ni nani?” Yohana akawaeleza kweli.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International