Font Size
Yakobo 2:22-24
Neno: Bibilia Takatifu
Yakobo 2:22-24
Neno: Bibilia Takatifu
22 Unaona jinsi ambavyo imani ilitenda kazi pamoja na matendo yake na imani ikakamilishwa kwa matendo. 23 Kwa njia hiyo yaka timizwa yale Maandiko yasemayo, “Abrahamu alimwamini Mungu, na kwa imani yake akahesabiwa kuwa mtu mwenye haki”; naye akaitwa rafiki wa Mungu.
24 Mnaona kwamba mtu huhesabiwa haki kwa matendo wala si kwa imani peke yake.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica