Font Size
Waebrania 7:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Waebrania 7:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Kuhani Melkizedeki
7 Melkizedeki alikuwa mfalme wa Salemu na kuhani wa Mungu Aliye Juu. Alikutana na Ibrahimu wakati Ibrahimu alipokuwa akirudi baada ya kuwashinda wafalme. Siku hiyo Melkizedeki alimbariki Ibrahimu. 2 Kisha Ibrahimu akampa sehemu ya kumi ya kila kitu alichokuwa nacho.
Jina Melkizedeki, mfalme wa Salemu, lilikuwa na maana mbili. Kwanza, Melkizedeki inamaanisha “mfalme wa haki.” Na “mfalme wa Salemu” inamaanisha “mfalme wa amani.”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International