Font Size
Waebrania 7:1-2
Neno: Bibilia Takatifu
Waebrania 7:1-2
Neno: Bibilia Takatifu
Kuhusu Melkizedeki, Kuhani Mkuu
7 Huyu Melkizedeki alikuwa ni mfalme wa Salemu na kuhani wa Mungu aliye juu. Abrahamu alipokuwa akirudi kutoka vitani ambako aliua wafalme wengi, Melkizedeki alikutana naye, akambariki. 2 Abrahamu akampatia Melkizedeki sehemu ya kumi ya vitu vyote. Kwanza, jina hilo Melkizedeki maana yake ni “Mfalme wa haki” na pia yeye ni “Mfalme wa Salemu,” maana yake, “Mfalme wa amani.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica