Font Size
Mathayo 27:11-14
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 27:11-14
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Gavana Pilato Amhoji Yesu
(Mk 15:2-5; Lk 23:3-5; Yh 18:33-38)
11 Yesu alisimama mbele ya Gavana, Pilato, ambaye alimwuliza Yesu, “Wewe ni mfalme wa Wayahudi?”
Yesu akajibu, “Waweza kusema hivyo.”
12 Lakini viongozi wa makuhani na viongozi wazee wa Kiyahudi walipomshutumu, hakusema kitu.
13 Hivyo Pilato akamwambia, “Husikii mashtaka haya yote wanayokushtaki wewe? Kwa nini hujibu?”
14 Lakini Yesu hakujibu kitu, gavana alishangaa sana.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International