Font Size
Mathayo 15:24-26
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 15:24-26
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
24 Yesu akajibu, “Mungu alinituma niwasaidie kondoo wa Mungu waliopotea, watu wa Israeli.”[a]
25 Ndipo mwanamke alikuja mahali alipokuwa Yesu na kuinama mbele yake. Akasema, “Bwana, nisaidie!”
26 Akamjibu kwa kumwambia, “Si sahihi kuwapa mbwa mkate wa watoto.”
Read full chapterFootnotes
- 15:24 watu wa Israeli Au “kondoo wa Israeli”.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International