Add parallel Print Page Options

24 Yesu akajibu, “Mungu alinituma niwasaidie kondoo wa Mungu waliopotea, watu wa Israeli.”[a]

25 Ndipo mwanamke alikuja mahali alipokuwa Yesu na kuinama mbele yake. Akasema, “Bwana, nisaidie!”

26 Akamjibu kwa kumwambia, “Si sahihi kuwapa mbwa mkate wa watoto.”

Read full chapter

Footnotes

  1. 15:24 watu wa Israeli Au “kondoo wa Israeli”.