Font Size
Matayo 7:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 7:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
2 Kwa maana hukumu uta kayotamka juu ya wenzako ndio itakayotumiwa kukuhukumu, na kipimo utakachotoa ndicho utakachopokea. 3 Kwa nini unaangalia kijiti kidogo kilichomo katika jicho la ndugu yako na wala huoni pande la mti lililoko jichoni mwako? 4 Au unawezaje kumwambia ndugu yako, ‘Hebu nikutoe uchafu jichoni mwako,’ wakati jichoni mwako mna pande kubwa?
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica