Font Size
Luka 24:5-7
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 24:5-7
Neno: Bibilia Takatifu
5 Wale wanawake, kwa hofu, wakainamisha nyuso zao chini. Lakini wale watu wakawaambia, “Kwa nini mnamtafuta aliye hai mahali pa wafu? 6 Hayuko hapa; amefufuka. Kumbukeni alivyowaambia alipokuwa Gali laya, 7 kwamba ilikuwa lazima Mwana wa Adamu awekwe mikononi mwa watu waovu, asulubiwe na siku ya tatu afufuke.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica