Font Size
Luka 14:24-26
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 14:24-26
Neno: Bibilia Takatifu
24 Ninawaambia, hakuna hata mmoja wa wale niliowapelekea mwaliko rasmi atakayeionja karamu yangu.”
Gharama Ya Kuwa Mfuasi Wa Yesu
25 Wakati mmoja umati mkubwa wa watu ulipokuwa ukifuatana na Yesu, yeye aligeuka, akawaambia, 26 “Mtu ye yote anayekuja kwangu hawezi kuwa mfuasi wangu kama hatanipenda mimi zaidi ya baba yake na mama yake, mke wake na watoto, kaka zake na dada zake; naam, hata maisha yake mwenyewe.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica