Mimi Paulo, mfungwa kwa ajili ya Kristo Yesu, pamoja na ndugu yetu Timotheo. Tunakuandikia wewe Filemoni mfanyakazi mwenzetu mpendwa, na dada yetu Afia na askari mwenzetu Arkipo, pamoja na kanisa linalokutana nyumbani kwako Tunawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana Yesu

Read full chapter