Font Size
2 Wakorintho 8:6
Neno: Bibilia Takatifu
2 Wakorintho 8:6
Neno: Bibilia Takatifu
6 Kwa hiyo tulimwagiza Tito, kwa kuwa ndiye aliyeanzisha jambo hili, akamilishe kazi hii ya neema pia kwa upande wenu.
Read full chapter
2 Wakorintho 8:6
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
2 Wakorintho 8:6
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
6 Kwa hiyo tulimwomba Tito awasaidie ninyi kuikamilisha kazi hii maalum ya kutoa. Tito ndiye aliyeianzisha kazi hii kwanza miongoni mwenu.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International