Font Size
2 Wakorintho 3:2-3
Neno: Bibilia Takatifu
2 Wakorintho 3:2-3
Neno: Bibilia Takatifu
2 Ninyi wenyewe ni barua yetu ya utambulisho iliyoan dikwa katika mioyo yenu, ijulikane na kusomwa na kila mtu. 3 Ni dhahiri kwamba ninyi ni barua iliyoandikwa na Kristo, matokeo ya kazi yetu. Barua hii haikuandikwa kwa wino bali kwa Roho wa Mungu aliye hai.
Read full chapter
2 Wakorintho 3:2-3
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
2 Wakorintho 3:2-3
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
2 Hapana, ninyi wenyewe ni barua yetu, iliyoandikwa mioyoni mwetu. Inafahamika na kusomwa na watu wote. 3 Mnaonyesha kuwa ninyi ni barua toka kwa Kristo aliyoituma kupitia sisi. Barua ambayo haikuandikwa kwa wino bali kwa Roho wa Mungu aliye hai. Haikuandikwa katika mbao za mawe[a] lakini katika mioyo ya wanadamu.
Read full chapterFootnotes
- 3:3 mbao za mawe Ina maana ya sheria ambayo Mungu aliitoa kwa Musa, iliyoandikwa kwenye mbao za mawe. Pia katika mstari wa 7. Tazama Kut 24:12; 25:16.
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International