Font Size
2 Wakorintho 3:18
Neno: Bibilia Takatifu
2 Wakorintho 3:18
Neno: Bibilia Takatifu
18 Na sisi sote ambao nyuso zetu hazikufunikwa tunaonyesha, kama kwenye kioo, utukufu wa Bwana. Nasi tunabadilishwa tufanane naye, kutoka utukufu hadi utukufu wa juu zaidi, ambao unatoka kwa Bwana ambaye ni Roho.
Read full chapter
2 Wakorintho 3:18
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
2 Wakorintho 3:18
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
18 Na sura zetu hazikufunikwa. Sote tunaendelea kuutazama utukufu wa Bwana, na tunabadilishwa na kufanana na mfano huo huo tunaouona. Badiliko hili linatuletea utukufu zaidi na zaidi, na linatoka kwa Bwana, ambaye ni Roho.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International