Font Size
1 Wakorintho 11:20-22
Neno: Bibilia Takatifu
1 Wakorintho 11:20-22
Neno: Bibilia Takatifu
20 Mnapokutana pamoja hamli chakula cha Bwana. 21 Kwa kuwa mnapokula, kila mmoja wenu anaendelea na chakula chake bila kun goja wengine, na mmoja anabaki na njaa wakati mwingine analewa. 22 Je, hamwezi mkala na kunywa kwenye nyumba zenu? Au mnadharau kanisa la Mungu na kuwafedhehesha wasio na kitu? Niwaambie nini?
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica