Font Size
1 Petro 5:1-3
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
1 Petro 5:1-3
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Kondoo wa Mungu
5 Sasa nina jambo la kuwaambia wazee walio katika kundi lenu. Mimi pia ni mzee nami mwenyewe nimeyaona mateso ya Kristo. Na nitashiriki katika utukufu utakaodhihirishwa kwetu. Hivyo ninawasihi, 2 mlitunze kundi la watu mnalowajibika kwalo. Ni kundi lake Mungu.[a] Basi lichungeni kwa moyo wa kupenda na si kwa kulazimishwa. Hivi ndivyo Mungu anavyotaka. Fanyeni hivyo kwa sababu mnafurahi kutumika, na si kwa sababu mnataka pesa. 3 Msiwaongoze wale mnaowasimamia kwa kuwaamrisha. Lakini muwe mfano mzuri wa kuiga kwao.
Read full chapterFootnotes
- 5:2 kundi lake Mungu Watu wa Mungu. Ni kama kundi la kondoo linalotakiwa kutunzwa.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International