Font Size
1 Wakorintho 16:1-2
Neno: Bibilia Takatifu
1 Wakorintho 16:1-2
Neno: Bibilia Takatifu
Matoleo Kwa Ajili Ya Waamini
16 Na sasa kuhusu matoleo kwa ajili ya kuwasaidia watu wa Mungu. Kama nilivyoagiza makanisa ya Galatia, fanyeni vivyo hivyo. 2 Siku ya kwanza ya juma kila mmoja wenu atenge kiasi cha fedha, kulingana na mapato yake, na fedha hiyo aiweke ili nitaka pokuja pasiwepo na haja ya kufanya mchango.
Read full chapter
1 Wakorintho 16:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
1 Wakorintho 16:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Makusanyo kwa Ajili ya Waamini Katika Uyahudi
16 Sasa, kuhusu mchango wa pesa kwa ajili ya watu wa Mungu: Fanyeni kama nilivyoyaambia makanisa ya Galatia kufanya. 2 Siku ya kwanza ya kila wiki, kila mmoja wenu achukue kiasi cha pesa kutoka kwenye pesa zake na azitenge. Akusanye kiasi anachoweza kutokana na anavyobarikiwa. Na hivyo hamtahitaji kukusanya nitakapokuja.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International