Font Size
1 Wakorintho 15:22-23
Neno: Bibilia Takatifu
1 Wakorintho 15:22-23
Neno: Bibilia Takatifu
22 Kwa kuwa katika Adamu watu wote hufa, vivyo hivyo katika Kristo wote wata fanywa kuwa hai. 23 Lakini kila mmoja kwa mpango: Kristo ni mat unda ya kwanza ya ufufuo; kisha wale walio wake wakati atakapo kuja watafufuliwa.
Read full chapter
1 Wakorintho 15:22-23
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
1 Wakorintho 15:22-23
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
22 Ndiyo, kwa sababu sisi sote ni wa Adamu, sisi sote tunakufa. Kwa njia hiyo hiyo, sisi sote tulio wa Kristo, tutakuwa hai tena. 23 Lakini kila mmoja atafufuliwa kwa mpango sahihi. Kristo alikuwa wa kwanza kufufuliwa. Kisha atakaporudi, wale walio wake watafufuliwa.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International