Font Size
1 Wakorintho 10:16
Neno: Bibilia Takatifu
1 Wakorintho 10:16
Neno: Bibilia Takatifu
16 Je? Kikombe cha baraka ambacho tuna kibariki, si ushirika katika damu ya Kristo? Na mkate tuumegao, si ushirika wa mwili wa Kristo?
Read full chapter
1 Wakorintho 10:16
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
1 Wakorintho 10:16
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
16 Kikombe cha baraka[a] tunachokitolea shukrani ni ushirika wa sadaka ya damu ya Kristo, sawa? Na mkate ule tunaomega, ni ushirika wa mwili wa Kristo, sawa?
Read full chapterFootnotes
- 10:16 Kikombe cha baraka Kikombe cha divai ambacho waamini katika Kristo humshukuru Mungu katika Mlo wa Bwana (Meza ya Bwana au sakramenti).
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International