Font Size
2 Wakorintho 10:5
Neno: Bibilia Takatifu
2 Wakorintho 10:5
Neno: Bibilia Takatifu
5 Tunaharibu hoja na mabishano yaliyo kinyume cha kumjua Mungu. Tunateka mawazo yote na kuyafanya yamtii Kristo,
Read full chapter
Wafilipi 4:8
Neno: Bibilia Takatifu
Wafilipi 4:8
Neno: Bibilia Takatifu
8 Hatimaye ndugu zangu, mambo yote yaliyo ya kweli, yo yote yaliyo na sifa, yaliyo ya haki, yo yote yaliyo safi, yo yote ya kupendeza, yo yote yenye sifa njema; ukiwapo uzuri wo wote, pakiwepo na cho chote kinachostahili kusifiwa, tafakarini mambo hayo.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica