Font Size
Ufunua wa Yohana 17:8
Neno: Bibilia Takatifu
Ufunua wa Yohana 17:8
Neno: Bibilia Takatifu
8 Huyo mnyama uliyemwona alikuwapo lakini sasa hayupo , naye atapanda kutoka katika shimo la kuzimu kwenda maangamizoni. Na watu waishio duniani ambao majina yao hayakuandikwa kwenye kitabu cha uzima tangu ulimwengu kuumbwa, watashangaa kumwona huyo mnyama, kwa maana alikuwapo, na hayupo, na kwamba atakuwapo.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica