Font Size
Matayo 3:13-15
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 3:13-15
Neno: Bibilia Takatifu
Yesu Abatizwa
13 Kisha Yesu akaja kutoka Galilaya mpaka mto Yordani ili abatizwe na Yohana. 14 Yohana alitaka kumzuia akimwambia, “Mimi ndiye ninahitaji kubatizwa na wewe, mbona unakuja kwangu? ” 15 Lakini Yesu akamjibu, “Kubali iwe hivi kwa sasa; kwa maana inatupasa kutimiza haki yote.” Kwa hiyo Yohana akakubali.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica