Font Size
Marko 8:31
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 8:31
Neno: Bibilia Takatifu
Yesu Azungumza Juu Ya Kifo Chake
31 Akaanza kuwafundisha wanafunzi wake kuwa yeye, Mwana wa Adamu, atapata mateso mengi na kukataliwa na wazee, na makuhani wakuu na walimu wa sheria; na kwamba atauawa na baada ya siku tatu atafufuka.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica