Font Size
Luka 2:36-37
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 2:36-37
Neno: Bibilia Takatifu
36-37 ,Tena, alikuwepo Hekaluni nabii mmoja mwanamke, mzee sana, jina lake Ana, binti wa Fanueli, wa kabila la Asheri. Nabii Ana alikuwa mjane wa miaka themanini na minne naye alikuwa ameolewa kwa miaka saba tu mumewe akafariki. Yeye aliishi humo Hekaluni daima, akimwabudu Mungu na kuomba na kufunga.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica