Font Size
Luka 18:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 18:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
2 Akawaambia, “Katika mji mmoja alikuwapo hakimu ambaye hakumwogopa Mungu wala kumjali mtu. 3 Na alikuwapo mjane mmoja katika mji huo ambaye alikuwa akija kwake mara kwa mara akimwomba, ‘Tafadhali niamulie haki kati yangu na adui yangu.’ 4 Kwa muda mrefu yule hakimu hakufanya lo lote. Lakini hatimaye akasema moyoni mwake, ‘Simwogopi Mungu wala simjali mtu
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica