Font Size
2 Petro 2:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
2 Petro 2:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Walimu Wa Uongo
2 Lakini pia walikuwepo manabii wa uongo miongoni mwa watu, kama watakavyotokea walimu wa uongo kati yenu. Kwa siri, watain giza mafundisho ya upotovu hata kumkana Bwana aliyewakomboa, na kwa njia hiyo watajiletea maangamizi ya haraka. 2 Na wengi wata fuata tamaa zao potovu, na kwa ajili ya matendo yao njia ya kweli itadharauliwa. 3 Nao katika tamaa yao watajaribu kuwanunua kwa kuwaambia hadithi walizotunga wenyewe. Lakini hukumu yao imekuwa tayari tangu zamani, wala mwangamizi wao hajalala usingizi.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica