Font Size
1 Wakorintho 15:3-8
Neno: Bibilia Takatifu
1 Wakorintho 15:3-8
Neno: Bibilia Takatifu
3 Kwa maana niliyopokea ndio niliyowapa ninyi, nayo ni muhimu sana: kwamba Kristo alikufa kwa ajili ya dhambi zetu, kama ilivy oandikwa katika Maandiko. 4 Na kwamba alizikwa na kufufuka siku ya tatu, kama ilivyoandikwa katika Maandiko. 5 Na kwamba alimto kea Kefa, kisha akawatokea wale kumi na wawili. 6 Baadaye akawa tokea ndugu waamini zaidi ya mia tano kwa pamoja, na wengi wao wangali hai, ingawa wengine wameshakufa. 7 Kisha akamtokea Yakobo, na ndipo akawatokea mitume wote. 8 Na mwisho wa wote, akanitokea na mimi, ambaye ni kama nilizaliwa kwa hali isiyo ya kawaida.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica